Isaiah 50:1

Dhambi Ya Israeli Na Utii Wa Mtumishi

1 aHili ndilo asemalo Bwana:

“Iko wapi hati ya talaka ya mama yako
ambayo kwayo niliachana naye?
Au nimewauza ninyi kwa nani
miongoni mwa watu wanaonidai?
Kwa ajili ya dhambi zenu mliuzwa,
kwa sababu ya makosa, mama yenu aliachwa.
Copyright information for SwhNEN